Pasua anga na Meridianbet Aviator kuanzia Julai mpaka Agosti na utue popote upendapo nchini Tanzania na mshkaji wako wa nguvu.
Sehemu zinazoweza kuchaguliwa:
Zanzibar + (kupumzika siku 5 hotelini)
Mwanza + (kupumzika siku 5 hotelini)
Arusha + kutembelea siku 4 katika Hifadhi za Serengeti & Ngorongoro
Kilimanjaro kupumzika siku 2 hotelini + siku 7 za kupanda mlima Kilimanjaro
Dar Es Salaam + (kupumzika siku 5 hotelini)
Masharti na Vigezo vya promosheni hii:
- Cheza Aviator kuanzia tarehe 01 mwezi wa Saba(July) hadi tarehre 31 mwezi wa nane(August) mwaka 2023 ujipatie nafasi ya kushinda safari ya ndege kwa watu wawili kutembelea vivutio vya kitalii nchini Tanzania!
- Wachezaji wote ambao wataweka dau la zaidi ya Tsh 10,000 katika kipindi hiki cha promosheni na wakicheza jumla Tsh 50,000 au zaidi kwenye Aviator watapata nafasi ya kushinda zawadi hizi.
- Droo ya washindi 2 ambao wataweza kuleta mtu mwingine pamoja nao itachezeshwa tarehe 01.09.2023.
- Washindi wataweza kuchagua sehemu yeyote kati ya zilizo tajwa na watalazimika kutembelea sehemu hizi kabla ya mwisho wa mwezi Septemba 2023.
- Ofa hii ni halali kwa anwani moja ya I.P. kwa mteja na mteja mmoja kwa nyumba.
- Katika kesi ya udanganyifu, matumizi mabaya ya kiufundi, pamoja na mambo yasiyokuwa ndani ya uwezo wa mwendeshaji, ambayo yanaweza kuathiri uaminifu na utendaji mzuri wa matangazo, mwendeshaji anahifadhi haki ya kutengua ushindi huo.
- Kila mteja aliejisajiri na Meridianbet.co.tz, moja kwa moja watakuwa wamekubali masharti na vigezo vya promosheni hii.
- Meridianbet inahifadhi haki ya kubadilisha sheria za promosheni hii wakati wowote pamoja na kusitisha promosheni hii.
- Sheria na masharti kuzingatiwa.