Tiketi za pesa halisi pekee ndi zitakazohesabika katika promosheni hii
Dau la chini kwa tiketi ambalo litahesabika kwenye promosheni hii ni TSh 1,000+
Wateja watavuna alama kwenye kila tiketi na kila bashiri ya TSh 1,000
- Kila tiketi ya TSh 1,000 mteja atapata alama 5
- Kila dau la TSh 1,000 TZS mteja atapata alama 15 ( endapo ataweka beti dau la TSh 3000, atapata alama 45 ya dau + alama 5 za beti = alama 50)
Endapo wachezaji wawili wamefungana alama, kucheza mara nyingi mfululizo kutatumika kupata mshindi, mchezaji aliyecheza mara nyingi mfululizo atakuwa mshindi.
Droo ya Kwanza 30.09.2023
Nafasi ya 1 - Samsung A32
Nafasi ya 2 - 50,000 TZS
Nafasi ya 3 - 20,000 TZS
Droo ya Pili 10.10.2023
Nafasi ya 1 - Samsung A32
Nafasi ya 2 - 50,000 TZS
Nafasi ya 3 - 20,000 TZS
Droo ya mwisho 21.10.2023
Mshindi wa Jumla - Boda boda Mpya
Vigezo na Masharti ya Promosheni:
- Promosheni itaanza tarehe 21.09.2023 00:00 na itakamilika 21.10.2023 23:59:59
- Promosheni hii ni kwa watumiaji wa tovuti na APP ya meridianbet.co.tz
- Dau la chini la kubashiri ni TSh 1,000
- Tiketi za bonasi na system hazitohesabiwa kwenye ofa hii
- Kwa kushiriki promosheni hii, kila mchezaji atakubaliana na sheria za promosheni
- Meridianbet inahifadhi haki ya kubadilisha sheria za promosheni hii wakati wowote pamoja na kusitisha promosheni hii.
- Vigezo na Masharti Kuzingatiwa