Muda uliobaki
8:10:53
Unapata 5% ya pesa inayorudishwa kwako kwenye akaunti yako ya mtandaoni ikiwa kama ni bonasi ya kila wiki endapo umekuwa ukiliwa wiki husika. Inakuwa ni USHINDI endapo ukiliwa mikeka yako wakati ukiwa ni mshirika wa Klabu ya Meridianbet Plus! Ili ufuzu kwenye hii promosheni unatakiwa kuzingatia masharti na vigezo vifuatavyo:
1. Unatakiwa kujisajili kwa ajili ya kupata kadi ya uaminifu ya Meridianbet Plus kwenye duka lililo karibu nawe la Meridianbet.
2. Utarudishiwa 5% kutoka kwenye kiwango cha jumla ulicholiwa wiki husika katika kubeti. Wiki inaanza siku ya Jumatatu saa 06:00 usiku mpaka Jumapili 05:59 usiku ambapo pesa italipwa kama bonasi kabla ya saa 6 mchana kila siku ya Jumatano.
3. Mahesabu ya ulicholiwa yanafanyika hivi: Ulizoshinda – hela ulizoliwa. Mfano ukiwa umeshinda Tsh 5000 (bila kujumuisha dau ulilokuwa unaweka) na ukaliwa 6000. Basi hapo ulicholiwa kwa wiki ni Tsh 1000. Utapokea 5% ya Tsh 1000 ambayo ni Tsh 50. Kiwango cha chini kwa muda husika kinatakiwa kuwa ni Tsh 1000 ili ufuzu.
4. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
5. Ili urudishiwe unatakiwa kukubali bonasi kwenye ujumbe utakaoupata kwenye akaunti yako ya Meridianbet.
Tengeneza tiketi mtandaoni, weka ubashiri kwenye duka la kubetia.
Muda uliobaki
8:10:53
Promosheni maalum yakipekee kwa maduka yote nchini
Muda uliobaki
8:10:53
Jiunge Na promosheni hii maalum na ya kipekee kwa maduka yetu yote nchini!
Muda uliobaki
8:10:53
Kuwa mshirika na Meridianbet
Muda uliobaki
8:10:53